Mazungumzo na Rais wa Malawi, Bibi Joyce Banda, wilayani Thylo, Blantyre jana (Aprili 23, 2012) asubuhi. kama Rais Kikwete alivyopost kwenye twitter leo
Tuesday, April 24, 2012
Lulu Amwaga Chozi Mahakamani
Na Mwandishi Wetu
MSANII maarufu wa filamu nchini Elizabert Michael 'Lulu' jana alimwaga chozi Mahakamani wakati kesi yake ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Msanii huyo alimwaga chozi hilo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na msukumano kati ya askali magereza na wapigapicha wa vyombo mbalimbali vya habari walikuwa wakitaka kumpiga picha.
Waapigapicha hao walikuwa wanampiga picha Lulu wakati akitokea katika gari la magereza aliloletwa nalo na kupandishwa mahakamani ambapo askali magereza waliweka ulinzi mkali uliofanya wapigapicha wasipate nafasi nzuri ya kufanya kazi yao.
Hali hiyo ilileta tafrani na msukumano mkubwa na kumfanya Lulu aliyekuwa akisindikizwa na askali wa kike zaidi ya watano kuwa katika wakati mgumu ambapo hadi anafika kizimbani alionekana akitokwa na machozi.
Baada ya kufikishwa mahakamani hapo,wakili wa serikali Elizabert Kaganda,mbele ya Hakimu Lita Tarimo aliieleza mahakama kuwa kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutajwa na kwamba upelelezi wake bado haujakamilika.
Kutokana na hali hiyo aliiomba mahakama hiyo itowe tarehe nyingine kwa ajili ya kesi hiyo kutajwa ambayo ni Mei 7 mwaka huu.
Kaganda baada ya hakimu kutoa tarehe hiyo,aliiomba mahakam hiyo itoe amri ya watu waliokuwa katika kordo za mahakam hiyo kupungua ili mshtakiwa huyo atoke kwa usalama.
"Mheshimiwa hakimu naomba mahakama yako itoe ami ya watu kupungua ili mshtakiwa aweze kupita kwa ulinzi na usalama kwasababu ameingia ka kusukumwa sukumwa kutokana na watu kuwa wengi"alidai Kaganda.
Tarimo hakuwa na pingamizi na ombi hilo na kuwaamuru maaskali walio mahakamani hapo kuondoioa watu wote wasiohusika ili mshtakiwa apite kwa ulinzi na usalama.
Lulu alifikishwa mahakamani hapo saa 3:06 asubuhi katika akiwa ndani ya basi dogo la kijani la magereza kaiwa mshtakiwa pekee katika basi hilo pamoja na maaskali magereza.
Katika msafara huo,Lulu alisindikizwa na magari matatu likiwemo aina ya civilian STK 3058 lililokuwa limejaa askali wa kutuliza ghasia waliokuwa wakiwa na virungu pamoja na ngao.
Lulu anatetewa na mawakili watatu ambao ni Peter Kibatala,Keneld Fungamtama,Fulges Masawe na Kamishna wa Haki za Binadamu.
MSANII maarufu wa filamu nchini Elizabert Michael 'Lulu' jana alimwaga chozi Mahakamani wakati kesi yake ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Msanii huyo alimwaga chozi hilo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na msukumano kati ya askali magereza na wapigapicha wa vyombo mbalimbali vya habari walikuwa wakitaka kumpiga picha.
Waapigapicha hao walikuwa wanampiga picha Lulu wakati akitokea katika gari la magereza aliloletwa nalo na kupandishwa mahakamani ambapo askali magereza waliweka ulinzi mkali uliofanya wapigapicha wasipate nafasi nzuri ya kufanya kazi yao.
Hali hiyo ilileta tafrani na msukumano mkubwa na kumfanya Lulu aliyekuwa akisindikizwa na askali wa kike zaidi ya watano kuwa katika wakati mgumu ambapo hadi anafika kizimbani alionekana akitokwa na machozi.
Baada ya kufikishwa mahakamani hapo,wakili wa serikali Elizabert Kaganda,mbele ya Hakimu Lita Tarimo aliieleza mahakama kuwa kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutajwa na kwamba upelelezi wake bado haujakamilika.
Kutokana na hali hiyo aliiomba mahakama hiyo itowe tarehe nyingine kwa ajili ya kesi hiyo kutajwa ambayo ni Mei 7 mwaka huu.
Kaganda baada ya hakimu kutoa tarehe hiyo,aliiomba mahakam hiyo itoe amri ya watu waliokuwa katika kordo za mahakam hiyo kupungua ili mshtakiwa huyo atoke kwa usalama.
"Mheshimiwa hakimu naomba mahakama yako itoe ami ya watu kupungua ili mshtakiwa aweze kupita kwa ulinzi na usalama kwasababu ameingia ka kusukumwa sukumwa kutokana na watu kuwa wengi"alidai Kaganda.
Tarimo hakuwa na pingamizi na ombi hilo na kuwaamuru maaskali walio mahakamani hapo kuondoioa watu wote wasiohusika ili mshtakiwa apite kwa ulinzi na usalama.
Lulu alifikishwa mahakamani hapo saa 3:06 asubuhi katika akiwa ndani ya basi dogo la kijani la magereza kaiwa mshtakiwa pekee katika basi hilo pamoja na maaskali magereza.
Katika msafara huo,Lulu alisindikizwa na magari matatu likiwemo aina ya civilian STK 3058 lililokuwa limejaa askali wa kutuliza ghasia waliokuwa wakiwa na virungu pamoja na ngao.
Lulu anatetewa na mawakili watatu ambao ni Peter Kibatala,Keneld Fungamtama,Fulges Masawe na Kamishna wa Haki za Binadamu.
Picha Za Lulu Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kifo cha Kanumba
Elizabeth Michael akiwa chini ya ulinzi mkali akielekea mahakamani kusikiliza kesi yake ikitajwa kwa mara ya kwanza ambapo kesi hiyo imeahirishwa mpaka May 7 mwaka huu
Dkt Shein Akutana na Wawakilishi wa Wafanyakazi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na Wajumbe wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar,waliofika Ikulu Mjini Zanzibar jana.[Picha na Ikulu Zanzibar.]
JK Amfariji Mke wa Marehemu Mutharika
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Rais
wa Malawi, marehemu Profesa Bingu wa Mutharika,wakati wa mazishi yaliyofanyika
shambani kwa marehemu Ndata,wilayni Thyolo leo
Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete akimfariji mjane wa Marehemu Rais Wa Malawi Bingu wa Mutharika,
Bi Calista Mutharika wakati wa ibada ya mazishi iliyofanyika kijijini kwa
marehemu Ndata,Wilayni Thyolo, nje ya jiji la Blantyire, Malawi leo.
Picha kwa hisani ya Ikulu
Thursday, April 19, 2012
Seif na Hamad Wakutana
Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Hamad Sharif ambaye pia ni Katibu mkuu wa CUF ,akisalimiana na hasimu wake mkubwa ambaye ni Mbunge jimbo la Wawi, Hamadi Rashid walipokutana Ikulu jijini Dar es Salaam hivi karibuni wakati wa hafla ya kuwaapisha wajumbe wa kamati ya kuratibu maoni ya Katiba.
Rais wa Zanzibar Aendelea na Ziara Pemba
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk Ali
Mohamed Shein,akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa madarasa
mapya ya kusomea katika skulimya Ukutini Kusini Pemba akiwa katika
ziara mkoani humo jana.
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akitembelea maeneo ya Skuli ya ukutini baada ya kuzinduzi wa madarasa mapya ya kusomea katika skulimya Ukutini Kusini Pemba akiwa katika ziara mkoani humo jana.
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akitembelea maeneo ya Skuli ya ukutini baada ya kuzinduzi wa madarasa mapya ya kusomea katika skulimya Ukutini Kusini Pemba akiwa katika ziara mkoani humo jana.
Magufuli Alazwa, Mtevu Anusurika
John Magufuli Alazwa, Abbasi Mtemvu Apata Ajali
Na Mwandishi Wetu Dodoma
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli(pichani juu kulia), amelazwa
katika hospitali ya Mkoa wa Dodoma baada ya kufikishwa akisumbuliwa na ugonjwa
wa shinikizo la damu
Naibu Spika wa Bunge, Bw Job Ndugai, alitoa
taarifa hiyo muda mfupi kabla ya kuahirisha Bunge jana mchana ambapo wabunge
walishikwa na taharuki baada ya kusikia taarifa hiyo.
Alisema hadi jana afya ya Waziri Magufuli ilikuwa
inaendelea vizuri kutokana na matibabu aliyopewa na kuwaomba watanzania
waendelee kumuombea ili apone haraka. “
asubuhi zililetwa taarifa hapa, kwamba mwenzetu Dk. Magufuli anaumwa na
amekimbizwa katika Hospitali ya Mkoa Dodoma kwa matibabu”alisema Bw Ndugai.
“Taarifa nilizonazo ni kwamba, alipofikishwa
hospitalini na kupimwa, ilionekana ‘preasure’ (shinikizo la damu) lilikuwa
juu. Alisema kuwa tayari Waziri
Mkuu,Mizengo Pinda alikwenda kumjulia hali hospitalini na kueleza kuwa hali
yake inaendelea vizuri, preasure imeshuka ila bado anaendelea kusumbuliwa na
vichomi.
Aidha Naibu Spika pia aliliambia Bunge, kuwa
Mbunge wa Temeke, Abas Mtemvu (CCM)(pichani chini kulia), amepata ajali ya barabarani mkoani
Morogoro. Alisema ajali hiyo ilitokea
jana saa 12.15 asubuhi baada ya gari la mbunge huyo kugongwa na roli alipokuwa
akitoka Mjini Dodoma kuelekea jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Naibu Spika, Mtemvu na dereva wake
walipata majeraha na kutibiwa mkoani humo kabla ya kuendelea na safari kuelekea
Jijini Dar es Salaam kwa matibabu zaidi. Katika ajali hiyo, alisema gari la
Mtemvu liliharibiwa vibaya.
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA DINI LA WAISLAMU NA WAKRISTO JIJINI DAR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa dini
alipowasili kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam,kwa ajili ya kufungua
Kongamano la Dini la Waislam na Wakristo, lililoanza leo Aprili 18, 2012.
Baadhi ya Viongozi wa Dini wakifuatilia kwa makini Hotuba ya Mgeni Rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, alipofika kufungua rasmi Kongamano la Dini la Waislam na Wakristo, lililoanza leo Aprili 18, 2012 kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Viongozi wa Dini wakifuatilia kwa makini Hotuba ya Mgeni Rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, alipofika kufungua rasmi Kongamano la Dini la Waislam na Wakristo, lililoanza leo Aprili 18, 2012 kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi Kongamano la Dini la Waislam na Wakristo lililoanza leo Aprili 18, kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Picha Zote kwa hisani ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Baadhi ya Viongozi wa Dini wakifuatilia kwa makini Hotuba ya Mgeni Rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, alipofika kufungua rasmi Kongamano la Dini la Waislam na Wakristo, lililoanza leo Aprili 18, 2012 kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Viongozi wa Dini wakifuatilia kwa makini Hotuba ya Mgeni Rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, alipofika kufungua rasmi Kongamano la Dini la Waislam na Wakristo, lililoanza leo Aprili 18, 2012 kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi Kongamano la Dini la Waislam na Wakristo lililoanza leo Aprili 18, kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Picha Zote kwa hisani ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Waziri Mkuu na Mbunge wa Arumeru Mashariki
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Arumeru Mashariki ,
Joshua Nassari kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, Aprili
18,2012.
Rais wa Zanibar Akiwa Pemba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Watoto mara baada ya kuzindua
Msikiti Masjid Raudha katika shehia ya Kiuyu Maungweni,pamoja na
kuzungumza na Waumini wa Dini ya Kiislamu wa Shehia hiyo jana,katika
jimbo la Ole Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Picha Zote na Ikulu ya Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akishiriki katika upandaji wa miche ya Mikarafuu,katika shamba la Mikindani ,Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba akiwa katika ziara ya Mkoani humo.
Picha Zote na Ikulu ya Zanzibar
Wednesday, April 18, 2012
Boda boda Zina Vutana. . .
Kamera yetu imenasa tukio la kushangaza eti hawa jamaa wanavutana tena kwa mpira, hawaogopi ajali wala nini, ndo maana watu wanawaponda sana Bodaboda. Juzi mtaa wa Samora, jijini Dar es Salaam. Chini inaonyesha kazi hiyo si rahisi, mpira huo umewapa taabu.
Mfanyakazi wa Ng'ombe Karudi
Hapa mheshimiwa karudi na majani ya kutosha tu kulisha ng'ombe akisubiri afunguliwe geti, siku hizi ng'ombe ni wavivu sana wameajiri binadamu wawatumikie, inabidi waletewe chakula, mavi yao yazolewe, waogeshwe...nk tofauti na miaka ya nyuma, kweli maisha yamebadilika. Hapa ni Mikocheni kati ya Business na Kwa Warioba.
Mpaka Litembee Hilo. . .
Kijana akijitahidi kulifufua gari lilichoka, Msasani Bonde la Mpunga, hivi karibuni, siku chache baadae gari hilo lilikutwa limenyofolewa karibu kila kitu na kubaki kama skrepa
Usalama Hatari
Sina uhakika kama suala la usalama jijini Dar es Salaam ni kitu kinaeleweka, nafikiri ni muhimu tuwaelimishe ndugu zetu kuhusu usalama. Hapa jamaa wananing'inia kwenye gari lilikuwa linakwenda kasi katika barabara ya Morogoro hivi karibuni maeneo ya Magomeni Kagera.
Huu Ndio Usongo Wa Elimu...
Watoto Shabani Ramadhani (kulia) na Ibrahimu
Bassu (kushoto) wanaosoma darasa la kwanza katika shule ya msingi Ushirika
manispaa ya Shinyanga wakionesha kuwa na hamu kubwa ya elimu, hapa walinaswa na
kamera yetu wakiandika kitu ndani ya daftari bila kujali walikuwa barabarani.
(Picha na Hisani ya Majira)
(Picha na Hisani ya Majira)
Nyumba Zavunjwa Geita
Baadhi
ya wananchi wa kijiji cha Lwamgasa,wilayani Geita wakivunja nyumba zao
jana ,kwa kile kilichoelezwa kupisha upanuzi wa barabara ikiwa ni agizo la
serikali ya kijiji hicho.Zaidi ya nyumba 100 zimevunjwa ambapo familia za watu
hao baadhi zinahifadhiwa kwa ndugu jamaa na marafiki na zingine kulala
nje.(picha na Faida Muyomba
Ngumi Za 'Kulipwa' Za Bure...
Jamaa wakitiana adabu mtaani, hii imetokea juzi Kawe eneo la LUKU
Hapa jamaa wakienjoy kuona wenzao wanapigana kabla ya kuwaamulia, walisikika wengine wakidai waachwe wafundishane
Baada ya shinikizo jamaa wakaamua kukatisha pambano hilo kwa kuwaamulia
Hapa jamaa wakienjoy kuona wenzao wanapigana kabla ya kuwaamulia, walisikika wengine wakidai waachwe wafundishane
Baada ya shinikizo jamaa wakaamua kukatisha pambano hilo kwa kuwaamulia
Rais Kikwete Akiwa Brazil
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika ukumbi wa mikutano wa Brasilia Convention Centre jijini Brasilia, Brazil, April 17, 2012 katika mkutano wa Open Government Partnership
Wajumbe wa Tanzania kutoka taasisi mbalimbali za kiraia na serikali wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa Brasilia Convention Centre jijini Brasilia, Brazil, April 17, 2012 wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Open Government Partnership.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na mabalozi wa nchi mbalimbali wakati wa Mchapalo ulioandaliwa na Balozi wa Tanzania nchini Brazil Mh Francis Malambugi nyumbani kwa Balozi usiku wa April 17, 2012 jijini Brasilia, Brazil
PICHA NA IKULU
Thursday, April 12, 2012
Ushabiki Hatari, Kanywa Sumu Sababu ya Kanumba
Picha zikimuonyesha msichana Mariam Elias akiwa kwenye hospitali ya Tumbi wilayani Kibaha
alikolazwa baada ya kunywa sumu ya panya akitaka kujiua baada ya kusikia msanii Steven
Kanumba kafariki
Thursday, April 05, 2012
Rais wa Zanzibar Awaapisha Mawaziri
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri aliowaapisha
waliosimama,hafla hiyo ilifanyika jana Ikulu Mjini Zanzibar,wengine Makamo wa
kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif,(kushoto) na Makamo wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi,(kulia)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Mhe,Ali Juma Shamuhuna,kuwa Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Amali,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar jana,kabla Shamuhuna,alikuwa Waziri wa Ardhi,Makaazi Maji na Nishati.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Mhe,Mansour Yussuf Himid,kuwa Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi na Waziri
asiyekuwa na Wizara Maalum,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
akimuapisha Mhe,Ramadhan Abdalla Shaaban,kuwa Waziri wa Ardhi.Makaazi,Maji na
Nishati,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar jana,kabla Shaaban,alikuwa
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Bw Sheha Mohamed Sheha,kuwa Mshauri wa Rais-Pemba,katika hafla
iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar jana.
Picha Zote na Ikulu ya Zanzibar
Joto la jiji la Dar es Salaam...
Madereva taxi wakiwa katika hali mbaya wamejihifadhi kwenye buti za magari yao kujizuia jua kali wakati wanasubiri abiria kama wanavyoonekana katikati ya jiji la Dar es Salaam mtaa wa Samora juzi. Pamoja na kwamba huu ni msimu wa mvua, mawingu mazito yamekuwa yakitanda angani lakini mvua kutokunyesha.
Mihogo Inavyosafirishwa
Mihogo ikiwa safarini kuelekea sokoni, huku waheshmiwa wakiwa wamekalia au wanalinda maana mjini hapahaminiki hivi karibuni katika barabara ya Mikumi eneo la Magomeni hivi karibuni
Wednesday, April 04, 2012
Mwisho wa upigaji kura Tuzo za Muziki Tanzania
![]() |
Mratibu wa Tunzo za Muziki Tanzania kutoka BASATA, Bw. Angelo Luhala akisistiza jambo kuhusu tunzo hizo. Pamoja na mambo mengine alitoa wito kwa watanzania kuziona tunzo hizo kama kitu chao wanachopaswa kujivunia.
Msanii Khamisi Ramadhan aka H Baba naye alikuwa miongoni mwa wadau wa Jukwaa la Sanaa waliotoa maoni yao kuhusu zoezi la upigaji kura kwenye tunzo za muziki Tanzania. Mzee Rashid Masimbi ambaye ni moja ya wadau wanaoheshimika kwenye tasnia ya Sanaa nchini akitoa maelekezo na ufafanuzi kuhusu tuzo za muziki huku wadau wakimsikiliza kwa umakini.
Subscribe to:
Posts (Atom)




























