Thursday, April 05, 2012

Joto la jiji la Dar es Salaam...

Madereva taxi wakiwa katika hali mbaya wamejihifadhi kwenye buti za magari yao kujizuia jua kali wakati wanasubiri abiria kama wanavyoonekana katikati ya jiji la Dar es Salaam mtaa wa Samora juzi. Pamoja na kwamba huu ni msimu wa mvua, mawingu mazito yamekuwa yakitanda angani lakini mvua kutokunyesha.

No comments:

Post a Comment