Thursday, April 19, 2012

Seif na Hamad Wakutana

Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Hamad Sharif  ambaye pia ni Katibu mkuu wa CUF ,akisalimiana na hasimu wake mkubwa ambaye ni Mbunge jimbo la  Wawi, Hamadi Rashid walipokutana Ikulu jijini Dar es Salaam hivi karibuni  wakati wa hafla ya kuwaapisha wajumbe wa kamati ya kuratibu maoni ya Katiba.

No comments:

Post a Comment