Thursday, April 19, 2012

Rais wa Zanibar Akiwa Pemba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Watoto mara baada ya kuzindua Msikiti Masjid Raudha katika shehia ya Kiuyu Maungweni,pamoja na kuzungumza na Waumini wa Dini ya Kiislamu wa Shehia hiyo jana,katika jimbo la Ole Mkoa wa Kaskazini Pemba.
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akishiriki katika upandaji wa miche ya Mikarafuu,katika shamba la Mikindani ,Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba akiwa katika ziara ya Mkoani humo.

                                                     Picha Zote na Ikulu ya Zanzibar

No comments:

Post a Comment