Thursday, May 23, 2013

HALI YA MTWARA BADO SI SHWARI


 Hali ya mkoa wa Mtwara bado haijatulia ambapo mpaka sasa vibanda vya biashara, nyumba za wananchi zimeteketezwa kwa moto na bado hali za vurugu zinaendelea


Huku taarifa zilizotolewa awali zimeonyesha kuwa baadhi ya watu ambao wanadhaniwa waanzirishi wa fujo hizo wamekamatwa




No comments:

Post a Comment