Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Ghalib Bilal, akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Watu wenye Ulemavu Tanzania (CCBRT), Erwin Telemans (kushoto), wakati wa maadhimisho ya Siku ya Fistula Duniani iliyofanyika kwa udhamini
wa Kampuni ya Vodacom Tanzania, Dar es Salaam jana. Kulia ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid,
CHINI: Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza, akisoma taarifa ya kampuni hiyo, kuhusu udhamini wake katika maadhimisho hayo na misaada mbalimbali kwenye hospitali CCBRT.
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
No comments:
Post a Comment