Thursday, November 19, 2015

KINYANG'ANYIRO CHA UNAIBU SPIKA, DK TULIA ACKSON APITA KWA KISHINDO

Dkt TULIA ACKSON MWANSASU

Matokeo ya zoezi la kura za Naibu Spika
Idadi ya wabunge halali kikatiba ni 394 
Webunge waliosajiliwa ni webbing 369
Akidhi ni 184

Waliopiga kura ni Wabunge 351, hakuna kura zilizoharibika 
Mh. Magdalena Sakaya amepata kura 101 sawa na 28.8%
Mh. Dk. Tulia Ackson Mwansasu amepata kura 250 sawa na 71.2%

Naibu Spika ametangazwa na kudhibitishwa rasmi na Spika wa Bunge, Mh. Job Ndugai. 

Dkt Tulia Ackson apishwa rasmi kuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


No comments:

Post a Comment