Thursday, November 19, 2015

RIHANNA KUFUNGUA BIASHARA YA BANGI, KUITWA "MaRihanna"

Mwanamuziki maarufu wa kimataifa wa nchini Marekani, Rihanna anajiandaa kuzindua biashara ya Bangi itakayoitwa “MaRihanna”

Kwa mujibu wa mtandao wa Celeb Stoner wa nchini humo, Rihanna atazindua biashara yake mpya itakayojulikana kama MaRihanna. 

Imeripotiwa kuwa Rihanna ametangaza jijini Jamaica pamoja na kwamba hapajakuwa na taarfa rasmi kutoka katika kambi yake.

Rihanna alisikika akisema “MaRihanna ya Rihanna kwa kweli itakuwa ni kanabis mpya duniani na ni fahari kubwa kuwa mkongwe. MaRihanna inakuja kuliwasha soko”






No comments:

Post a Comment