Thursday, November 19, 2015

BREAKING NEWS: WAZIRI MKUU RASMI NI KASSIM MAJALIWA, ASHINDA KWA 73.5%

Mh. Nassim Majaliwa
Matokeo ya zoezi la kura za Waziri Mkuu
Idadi ya wabunge ni 394 
Waliopiga kura ni 351 
Zilizoharibika ni kura 2 sawa na 0.06%,
Kura za Hapana ni 91 sawa na 25.9%
Kura za Ndio ni 248 sawa na 73.5%

Waziri Mkuu ametangazwa na kudhibitishwa rasmi na Spika wa Bunge, Mh. Job Ndugai na kuita ni ushindi wa Kimbunga.

Ataapishwa kesho tarehe 20/11/2015, katika Ikulu ndogo ya Chamwino, jijini Dodoma


No comments:

Post a Comment