Mwenyekiti wa Bunge Maalumla KatibaSamweli Sitta(wa pili kulia) akibadilishana na wajumbe leo mjini Dodoma mara baada ya kuharishwa kwa shughuli za Bunge hilo. Wengine ni Mjumbe wa Bunge hilo ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda(kulia),Captain Mstaafu John Komba , Erasto Zambi na Diana Chilolo.
No comments:
Post a Comment