Tuesday, March 25, 2014

BREAKING NEWS: MKUU WA MKOA WA TARIME AMEFARIKI GHAFLA

TARIME

Taarifa za uhakikazinaeleza kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara John Gabriel Tupa(Pichani Kushoto), amefariki dunia katika hospitali ya Tarime.

Habari zinasema kuwa amefariki baada ya presha kupanda ghafla akitoka Musoma kuelekea Tarime kufunga Mafunzo ya Mgambo, ambapo alipelekwa haraka katika hospital ya Tarime.

Mpaka sasa mwili wa marehemu unachukuliwa kurudishwa Mkoa wa Mara ambapo alipokuwa anaishi.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi Amen!


No comments:

Post a Comment