Thursday, March 17, 2011

BABU AENDELEZA DOZI KWA WAHITAJI

Ambilikile Mwasapile aka Babu akiwa amemwaga pozi na wasaidizi wake huko Loliondo, mkoani Arusha hivi karibuni, wakati akiendelea kutoa dozi ya kikombe, inasemekana karibu viongozi wote wa serikali wamepata dozi kwa babu, babu yuko juuuuu hahaahaaa

Tumuawaishe yasije tokea mengine bure. . . kama wanavyoonekana wakina mama wakimkimbiza mgojwa kwa babu  Ambilikile Mwasapile huko Loliondo mkoani Arusha ili akapate kikombe hivi karibuni.


No comments:

Post a Comment