| Mtaji wa maskini. . . muendesha guta akiangaika na mzigo pamoja na tajiri yake kama mzigo jana jioni katika barabara ya Kawawa, Magomeni lango laJiji. |
![]() |
| Jamaa yetu mwenye sarakasi ndani ya kazi, kijana huyu alionekana kwenye blog hii wiki iliyopita, jana tena alkamatwa na kamera akiwa anashusha mteremko wa Mlalakuwa na mzigo wake kama anavyoonekana |

No comments:
Post a Comment