MAULID ya kuadhimisha mazazi ya Mtume(S.A.W) yanatarajiwa kusomwa usiku wa Jumatatu tarehe 13.1.2014.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) kitaifa maulid itasomwa Kigoma Mjini baada ya Swala ya I’sha.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa baraza la maulid litafanyika saa tisa alasiri (9.00) mjini Kigoma siku ya Jumanne ya tarehe 14.1.2014 ambapo pia itakuwa siku ya mapumziko(Public Holiday)
No comments:
Post a Comment