Thursday, January 21, 2016

RAIS DKT JOHN MAGUFULI AONESHA UMAHIRI WA USHONAJI


Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akionesha umahiri wake wa kutumia Cherahani na kushona nguo za wafanyakazi wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kuvifahamu vitengo mbalimbali vya Ikulu jijini Dar es salaam Januari 20, 2016



Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kushona kwa ustadi wa hali ya juu


Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimalizia moja ya nguo za wafanyakazi wa Ikulu.

No comments:

Post a Comment