Maliki Bandawe(pichani akiwa na Rose Ndauka) ambaye pia ni msanii wa musiki wa kizazi
kipya alimzawadia mtoto wake nyimbo maalum aliyoitunga na kuingia studio
kwaajili hiyo tu.
Kama Jay Z na Beyonce, Malik aliamua kutunga nyimbo maalumu
kwaajili ya mwanae wa kike ambaye mpaka tunakwenda mitamboni nyimbo hiyo
imeshaanza kuingia sokoni.
SOMA ZAIDI...
Habari kutoka kwa watu walioko karibu na Rose zinasema, Rose
alijifungua salama mtoto wa kike tarehe 27 mwezi disemba katika hospitali ya
Muhimbili kwa njia ya upasuaji.
Mtoto huyo ambaye amepea jina la Naveen anaendelea kukua na
afya njema. Mashabiki na wapenzi wa msanii huyo wa filamu wanamsubiri kwa hamu
kubwa Rose ambaye imekuwa ni vigumu sana kuonekana.
Jitihada za kumpata Rose ili kuzungumzia hali yake ziligonga
mwamba na hatimae kumpata superstaa aliyekwenda kumjulia hali na kumtakia afya
njema katika mafanikio yake na kupokea mtoto wa kike.
Inadaiwa Malik alipatwa na furaha ya ajabu alipo pata
taarifa ya kufunga mwaka salama kwa kupata taarifa hizo njema.
No comments:
Post a Comment