Thursday, June 21, 2012

Mwanamke Aibiwa Mtoto Mchanga


Mwanamke Bi.Modesta Sumbuko ( 26) mkazi wa kijiji cha Butende , kata ya Mpunze
wilayani Kahama  akiwa na majonzi ya kuibiwa mtoto wake mchanga  wa kiume wa
siku tatu aliyeibiwa kwenye  wodi ya wazazi katika hospitari ya Wilaya ya
Kahama  alikokuwa amejifungua kwa njia ya upasuaji , kichanga hicho kilibiwa juzi
saa 11 alfajiri  na mama mmoja asiyefahamika , juu pichani  akiwa amekaa kwenye kitanda
chake ndani ya wodi hiyo. 
 
Na Mpiga Picha Wetu 


No comments:

Post a Comment