Mwanamke Bi.Modesta Sumbuko ( 26) mkazi wa kijiji cha Butende , kata ya Mpunze wilayani Kahama akiwa na majonzi ya kuibiwa mtoto wake mchanga wa kiume wa siku tatu aliyeibiwa kwenye wodi ya wazazi katika hospitari ya Wilaya ya Kahama alikokuwa amejifungua kwa njia ya upasuaji , kichanga hicho kilibiwa juzi saa 11 alfajiri na mama mmoja asiyefahamika , juu pichani akiwa amekaa kwenye kitanda chake ndani ya wodi hiyo.
Na Mpiga Picha Wetu
No comments:
Post a Comment