Bi.Modesta Sumbuko ( 26 ) wakiwa na mume wake Bw. Emmanuel Matheo ( 28) wakazi
wa kijiji cha Butende wakiwa wamembeba mtoto wao mchanga wa kiume wa siku 5
aliyekuwa ameibwa katika wodi ya wazazi kwenye hospitali ya Wilaya ya Kahama baada
ya kujifungua kwa njia ya upasuaji kichanga hicho kili ibwa na Bi.Pili Benardi
( 28 ) aiyekamatwa akiwa kwa mganga wa jadi Bi. Jane Mbalamwezi ( 54) wote wakazi
wa Kata ya Isaka , Kijiji cha Itogwah'olo kilomita 45 toka Kahama mjini .
Picha na Mpiga Picha Wetu
No comments:
Post a Comment