Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Msisili B, Kinondoni wakiangalia magari matatu kati ya sita mengine (hayapo pichani) yaliyotumiwa na Baba wa Taifa na Rais wa Kwanza, Mwalimu Julius Nyerere, walipotembelea Makumbusho ya Taifa Dar es Salaam jana. (Picha na mpiga picha wetu)
No comments:
Post a Comment