Mh. Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo, Bw. Said
Ali Mabrouk (Katikati) akizindua machapisho yanayolenga ukuzaji wa Uhuru,
Uwajibikaji na taaluma kwa wanahabari nchini. Shughuli hiyo iliyoandaliwa na
Baraza la Habari Tanzania na kufanyikia Zanzibar katika hoteli ya Zanzibar
Beach Resort jana. Kulia ni Raisi wa Baraza la Habari, Jaji Robert Kisanga na
kushoto ni Seleiman Seif Omar Meneja MCT Zanzibar. (picha
na Mpiga Picha Wetu)
No comments:
Post a Comment