Tuesday, November 24, 2015

MBUNGE WA CHUMBUNI APOKELEA NA WAPIKA KURA KWA SHANGWE AKITOKEA DODOMA




Mhe Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akipongezwa na Mke wakati alipofika kumpokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akitokea Dodoma kuhudhuria hafla ya kuapishwa wiki iliopita.




Mbunge wa Jimbo la VChumbuni Zanzibar akiwa na Mgombea Uwakilishi wa Jimbo hilo Miraji akimpongeza baada ya kuwasili Zanzibar akitokea Bungeni Dodoma kuhudhuria hafla ya kuapishwa iliofanyika wiki iliopita.




Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Ussi Salum AMJAD akisalimiana na wapiga kura wake waliofika uwanja wa ndege kumpokea baadha ya kuhudhuria hafla ya kuapishwa kuwa Mbunge wao.




Wananchi wa Jimbo la Cumbuni Zanzibar wakimlaki Mbunge wao wakati akiwasili Zanzibar akitokea Dodoma kuhudhuria sherehe za kuapishwa zilizofanyika wiki iliopita Mjini Dodoma.




Viongozi wa CCM Jimbo la Chumbuni wakimlaki Mbunge wao alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akitokea Dodoma kuhudhuria sherehe za kuapishwa zilizofanyika wiki iliopita Mjini Dodoma.














Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwa na Viongozi wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar waliofika kumpokea uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar akitokea Mjini Dodoma kuhudhuria sherehe za kuapishwa wiki iliopita.


Imetayarishwa na OthmanMapara,Blogspot.


Zanzinews.com


Email othmanmaulid@gmail.com.




No comments:

Post a Comment