KIKOSI CHA AZAM
KIKOSI CHA KCCA
Mshambuliaji wa Azam John Bocco akichuana na Beki wa KCCA Ochaya Joseph katika eneo la hatari huku kipa wa KCCA Ochan Benjamin akiwa katika wakati mgumu.
Kiungo wa Kati wa KCCA Senkumba Hakim akikabana koho na Frank Domayo wa Azam
Kocha wa Azam Steward Hall (Kulia) akiteta jambo na msaidizi wake.
Kocha wa KCCA Mike Mutebi akionyesha kuchukizwa na rafu aliyoicheza Sure Boy kwa mchezaji wake Wasswa Hassan.
Shabiki maarufu nchini anayejulikana kwa jina moja la Steve ambaye alikuwa mshabiki wa Yanga na sasa amehama timu hiyo na kuishabikia Azam pia jioni ya Leo alitilia uzi wake wa wanalambalamba hao na kuja kuishangilia.
No comments:
Post a Comment