Saturday, April 12, 2014

MAFURIKO YA KUTISHA DAR: TUNAENDELEA ANGALIA MAENEO MBALIMBALI

Mbagala huko daraja lilipokata
 Mshkaji kamdondosha mteja kwenye maji, ndio kichapo kikaanza

 Pale Mayfair pale…sasa hivi mwenye boti ndio mshindi wa kila kitu
 Hapa hata sijui niseme nini. . .! afadhali mkuu kasevu feni… huyu mwenye stuli sijui itakuwaje
Hapo ndio mgahawa maarufu wa KFC, utahitaji boti kuingia, maana hali ndio kama hivyo tena. . .

 Mgeni njoo mwenyeji afaidi. . .vijana wamejipatia ajira ya muda, wanatamani mvua ziendelee...
 Uswazi kwetu nako sijui tutalalaje leo maana duh. . .
 Uwanja wa mpira wa kimataifa wa mabingwa wa ligi ya VPL, Yanga umepotea ukiuona utapewa zawadi
 Mbezi beach kwa matajiri, kama unavyowaona . . .
 Karibu na daraja la Mabibo, tuombe mvua isimame lasivyo zile nyumba pale zinaondoka. . .
 STK 3316, ikiwa imezama, sijui ilikuwaje pale duh. . .
Hapa ni Mayfair, katikati ya TMJ na Shoppaz Plaza, maji si mchezo. . .

No comments:

Post a Comment