Haya ndio matokeo ya uchaguzi
wa Kamati zilizoundwa na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba Samwel Sitta (pichani juu), jana asubuhi bungeni.
Kamati namba
1
Mwenyekiti ni Ummy Mwalimu
Makamu wake ni Profesa Makame Mbalawa,
Kamati namba 2
Mwenyekiti ni Shamsi Vuai Nahodha
Makamu ni Shamsha Mwangunga,
SOMA ZAIDI . . .
Kamati namba 3
Mwenyekiti ni Francis Michael
Makamu wake ni Fatuma Mussa Juma,
Kamati namba 4
Mwenyekiti ni Christopher Ole Sendeka
Makamu wake ni Dkt,Sila Ugwa,
Kamati namba 5
Mwenyekiti ni Hamad Rashid
Makamu wake ni Assumter Mshama,
Kamati namba 6
Mwenyekiti ni Stephen Wasira
Makamu wake ni Maua Daftrari.
Mwenyekiti ni Ummy Mwalimu
Makamu wake ni Profesa Makame Mbalawa,
Kamati namba 2
Mwenyekiti ni Shamsi Vuai Nahodha
Makamu ni Shamsha Mwangunga,
SOMA ZAIDI . . .
Kamati namba 3
Mwenyekiti ni Francis Michael
Makamu wake ni Fatuma Mussa Juma,
Kamati namba 4
Mwenyekiti ni Christopher Ole Sendeka
Makamu wake ni Dkt,Sila Ugwa,
Kamati namba 5
Mwenyekiti ni Hamad Rashid
Makamu wake ni Assumter Mshama,
Kamati namba 6
Mwenyekiti ni Stephen Wasira
Makamu wake ni Maua Daftrari.
Kamati namba 7
Mwenyekiti ni Generali Hassan Ngwilizi
Makamu wake ni Waride Bakari Jabu,
Kamati namba 8
Mwenyekiti ni Job Ndugai
Makamu wake ni Biugwa Yahya Othuman,
Kamati namba 9
Mwenyekiti ni Kidawa Hamisi Salehe
Makamu wake ni Wiliam Ngereja,
Kamati namba 10
Mwenyekiti ni Anna Abdallah
Makamu wake ni Salmin Awadh Salmin,
Kamati namba 11
Mwenyekiti ni Anne Kilango Malecela
Makamu wake ni Yusuph Masaluni,
Kamati namba 12
Mwenyekiti ni Paul Kimiti
Makamu wake ni Thauwayba Edinton Kisasi.
No comments:
Post a Comment