Tuesday, January 28, 2014

JK APOKEA JEZI TOKA KWA MMILIKI WA CHICAGO CUBS

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea jezi ya timu ya baseball ya Chicago Cubs toka kwa mmiliki wa timu hiyo na Mwenyekiti wa taasisi ya kusaidia elimu ya Opportunity Education Foundation wa Marekani Bw. Joe Ricketts wakati alipomtembelea Ikulu Jumapili Januari 27, 2014

No comments:

Post a Comment