MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini Albert Mangwea 'Ngwair' amefariki dunia leo akiwa Afrika ya Kusini ambapo alikwenda kufanya shoo maalum nchini humo
Taalifa zilizopatikana jana zinaeleza Mangwea amefarikidunia katika hospitali ya St Hellen iliyopo jijini Johannesburg nchini humo.
No comments:
Post a Comment