Monday, February 25, 2013

WASHIRIKI WA MISS UTALII NDANI YA BAGAMOYO

Baadhi ya wanafunzi wa DSJ na miss Utalii wakinawa maji katika kisima kisicho kauka kilichopo Bagamoyo maeneo ya Ston Town katika safari yao ya kukuza na kutangaza utalii wa ndani iliyofanyika mwishoni mwa wiki

Washiriki wa miss Utalii wakijiandaa kuingia katika eneo la Ston Touwn kwa ajili ya kujifunza maswala mbalimbali yahusio utalii wa mahali hapo





No comments:

Post a Comment