Monday, February 25, 2013

YALIYOJILI UFUKWE WA BAGAMOYO

Wanafunzi wa chuo cha DSJ wakiwa katika pozi ndani ya ufukwe wa bahari Bagamoyo walipotembelea maeneo hayo kwa ajili ya kujifunza na kutangaza utalii wa ndani


Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye pozi la pamoja ndani ya ufukwe wa bahari bagamoyo

Mwanafunzi wa chuo cha Uandishi wa Habari akiwa katika pozi ndani ya ufukwe wa bahari Bagamoyo


Waziri wa Fedha wa chuo cha uandishi wa Habari (DSJ) akiwa katika pozi  ndani ya ufukwe wa bahari Bagamoyo

Baadhi ya wanafunzi wa chuo cha DSJ wakiwa wanaogelea katika ufukwe wa bahari Bagamoyo baada ya kutembelea maeneo kadhaa kwa ajili ya kujifunza na kutangaza utalii wa ndani




No comments:

Post a Comment