Monday, January 21, 2013

DEELISHIS AONGEZA TATOO KATIKA MAKALIO YAKE

 Nyota Deelishis ameamua kuongeza umakini katika sehemu zake za nyuma ya mwili wake , kama hiyo haitoshi pia nyota huyo ameongeza umakini kwa kuamua kujiongeza michoro zaidi katika sehemu zake za nyuma ya mwili wake na kutokea katika cover la magazine la Straight Stunt ambapo aliongeza baadhi ya kazi za sanaa za wasanii maarufu



No comments:

Post a Comment