Tuesday, January 29, 2013

ALICIA KEYS AFUNIKA



 Mwanamuziki Alicia Keys wikiendi iliyopita alitua Kusini mwa Ufaransa kwa ajili ya kuhudhuria tuzo za muziki za NRJ. Mwanadada huyo alikuwa ametokelezea katika vazi la gauni lililobuniwa na Michael Kors na aliongozana na mume wake Swizz Beatz






No comments:

Post a Comment