Tuesday, January 29, 2013

BEYONCE AUMBUKA




Imekuwa ni wiki ya hekaheka kwa mwanamuziki mwenye makazi yake Texas, Beyonce. Mwanamuziki huyo alijikuta akidhalilika baada ya kugundulika kuwa hukufanya 'Live'shoo

Onyesho hilo lilikuwa rekodedi , huku kila shabiki wake  alidhani kuwa Beyonce amefanya shoo nzuri kabla ya kugundua kuwa shoo hiyo ilikuwa ya kurekodiwa, kitu ambacho kiliwafanya kulalamika

Mwanamuziki Kelly Clarkson aliyepanda kabla ya Beyonce alicheza miziki yake 'Live'

Taarifa hizo zimekuja wakati mbaya kwa Beyonce kwa kuwa mwanamuziki huyo amekuwa katika jitihada la kujiunga tena na kundi la Destiny Child huku kukiwa na tetesi kibao kuhusiana na uhusiano na mume wake pamoja na mtoto wake


No comments:

Post a Comment