Maisha ya kijijini hayo, njiani Dodoma, hapa ndio kitu cha kijiji cha kusaga nafaka |
Huu ndio usafiri wa karibu kila kitu vijijini, haya ndio maisha yasiyo na complication au maisha bora 2011 |
Kina mama sijui lini watajikomboa, haya wakina mama mijini wasaidieni kina mama vijijini, hawa wanakatiza kuelekea mjini toka Dodoma vijijini, sijui wamesafiri muda gani |
Makao makuu ya Taifa yaani nchi ya Tanzania kama inavyoonekana Dodoma leo |
Hawa jamaa wamechoka kunyonga baskeli sasa wameona wadandie usafiri kuelekea gulioni, nje kidunchu ya Dodoma |
Huyu hakuona umuhimu wa kudandia usafiri nje kidogo ya jiji la Dodoma, aliamua kunyonga baskeli na sasa kapata pancha anaziba panchari yake |
No comments:
Post a Comment