Friday, April 29, 2011

Njiani Dodoma, niliyoyaona

Maisha ya kijijini hayo, njiani Dodoma, hapa ndio kitu cha kijiji cha kusaga nafaka

Huu ndio usafiri wa karibu kila kitu vijijini, haya ndio maisha yasiyo na complication au maisha bora 2011

Kina mama sijui lini watajikomboa, haya wakina mama mijini wasaidieni kina mama vijijini, hawa wanakatiza kuelekea mjini toka Dodoma vijijini, sijui wamesafiri muda gani

Makao makuu ya Taifa yaani nchi ya Tanzania kama inavyoonekana Dodoma leo

Hawa jamaa wamechoka kunyonga baskeli sasa wameona wadandie usafiri kuelekea gulioni, nje kidunchu ya Dodoma

Huyu hakuona umuhimu wa kudandia usafiri nje kidogo ya jiji la Dodoma, aliamua kunyonga baskeli na sasa kapata pancha anaziba panchari yake


No comments:

Post a Comment