Wauza samaki wakisubiri wateja katika barabara ya Bagamoyo ya zamani karibu na eneo la kwa Nyerere, eneo hilo polepole limeanza kupata umaarufu kwa shughuli hiyo. |
Umachinga unazidi kuchukua sure mpya jijini. kama ambavyo teknolojia inakuwa, na umachinga unakua pia. hawajamaa wanauza vyombo vya nyumbani karibu na hospitali ya TMJ kama wanavyoonekana. |
No comments:
Post a Comment