Thursday, June 05, 2014

FLAVIAN MATATA AZIDI KUJICHANGANYA NA WATU MAARUFU DUNIANI

Flavian Matata(kushoto) akiwa na Russel Simons(mwanaume), katika usiku wa kuwapongeza Simons na Kimora kwa mchango wao uliosababisha kuleta mabadiliko ya watu wengi maishani.

Chini: Flavian Matata katikati akiwa na bunifu maarufu duniani, DKNY (Dona Karan, New York-Kushoto) na mpiga picha wa fashion RussellJames, mtu aliyefanya naye kazi kwa mara ya kwanza nchini Marekani - Hongera sana Flavian



 Juu Flavian akiwa na Kimora mke wa Russel Simons (Katikati), chini Ni Russel Simons akiwa na mkewe Kimora baada ya kupokea zawadi



No comments:

Post a Comment