Thursday, June 05, 2014

BREAKING NEWS: MH. KOMBA AIBIWA SIMU KISHA PICHA ZASAMBAZWA AKIWA NA WASICHANA MBALIMBALI...

Mtu asityejulikana ameiba simu ya Mbunge (CCM), John Komba kisha kuanza kusambaza meseji pamoja na picha(KUSHOTO NI MOJA) za Mbunge huyo katika mitandao ya kijamii.

Hilo laweza kuwa sio tatizo sana, shida ni kwamba picha zinaozunguka kutoka kwenye simu hiyo ni za Mheshimiwa akiwa na wasichana tofauti tofauti alafu warembo wa ukweli, na ni picha za mahaba.

Jumbe hizo sio tu zimesambazwa kwa watu mbalimbali, bali pia hata Mheshimiwa Komba mwenyewe zilimfikia na kisha akaamua kutumia fursa hiyo kueleza ukweli wa mambo akidai kuwa …

“ Nimesikitishwa sana na kitendo cha binti aliyeweka picha yake ikionesha maziwa nje na nyingine nikiwa nimepiga naye. Binti huyu ni mpiga kura wangu na alikuwa anaumwa na nikaona nikamsalimie kwakuwa nina fahamiana naye na ni kama mtoto wangu” alieleza Mheshimiwa Komba

anaendelea kusema kuwa “ nilipofika nilimkuta amevaa kanga nikampa juice na matunda niliyompelekea na fedha taslimu. Alishukuru sana akaomba kupiga picha name, basi akasogea karibu akapiga picha.

Kumbe alishapiga nyingine ikiwa inaonesha maziwa. Nafahamu kuna watu wamemtumia ili kunichafua na kuchafua chama. Hongereni lakini ukweli ndio huo” alimaliza Mheshimiwa Komba.

BOFYA CHINI KUONA PICHA TOFAUTI



Pamoja na maelezo yake mazuri, bado ameacha mjadala mkubwa wenye maswali mengi kwa wanamitandao, baadhi ya maswali hayo ni pamoja na mbona amemuelezea msichana mmoja wakati wako zaidi ya wawili tofauti?






No comments:

Post a Comment