Katika daika 76 Yanga ilipata penati kutokana na mchezaji wa Prison kumchezea madhambi Hussen Javu katika eneo la hatari na kusababisha penati iliyozaa goli lililofungwa na Nadir Haroub Canavaro na kusababisha Yanga kupata bao la nne.
wakati mpira unaendelea katika dakika ya 88 Yanga wanajipatia bao la 5, goli safi lililofungwa na Hamisi Kiiza baada ya kupokea pasi nzuri kutoka kwa Hussen Javu. Yanga 5 Prison 0
Mpira umekwisha na matokeo ni Yanga 5 Prison 0, na kwa matokeo hayo, Yanga itaendelea kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu ya Tanzania Bara huku wakiwa na jumla ya point 46 nyuma ya Azam ambao kwa ushindi wake wa goli 2 - 0 dhidi ya Mgambo JKT, wanashikilia nafasi ya kwanza kileleni
No comments:
Post a Comment