Thursday, July 04, 2013

ABIRIA WA BODOBODA





Mkazi wa jijini Dar es Salaam akiwa amepakia nyani kwenye pikipiki yenye usajili namba T570BZH akijaribu kuvuka barabara katika mataa ya Mwenge, katika makutano ya barabara ya Samnujoma na Bagamoyo, Dar es Salaam hivi karibuni kama alivyokutwa na mpiga picha wetu.


No comments:

Post a Comment