Saturday, March 24, 2018

SHINDANO LA KWANZA KUWAHI KUTOKEA ZIMBABWE LA MISS ALBINISIM (PICHA)


Na Mwandishi wa Kimataifa
Immamatukio

Zimbabwe imefanya mashindano ya kumpata mlimbwende “Miss Albinisim” yenye lengo la kutokomeza unyanyasaji dhidi ya watu wanye ulemavu wa albinism ambapo washiriki 13 walijitokeza.

Sithembiso Mutukura, msichana mwenye umri wa miaka 22 ndie aliibuka mshindi na kuwagaragaza wenzie 12 katika mashindano yaliyofanyika jijini Harare ijumaa machi 16.

Zimbabwe inakuwa ni nchi ya pili duniani kufanya mashindano hayo baada ya Kenya ambapo wao walimpata Mr na Miss Albinisim.

Angalia picha za warembo katika shindano hilo chini:-










No comments:

Post a Comment