Sunday, December 24, 2017

MWENYEKITI MPYA JUMUIYA YA WAZAZI APOKELEWA KWA KISHINDO



Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk. Edmund Mndolwa akisalimia baadhi wa wana CCM waliofurika katika ukumbi wa Tawi la CCM Mwinjuma, Mwananyamala jijini Dar es Salaam, ambao walifika kumlaki katika mapokezi yaliyoandaliwa na Jumuiya hiyo mkoa wa Dar es Salaam, jana.



Gari la Dk. Mndolwa likiwasili lango Kuu la Ofisi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam wakati wa mapokezi hayo



Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania-Zanzibar Abdallah Haj Haidar akimpokea Dk Mndolwa kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam



Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk Edmund Mndolwa, akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Kate Sylivia Magdalena Kamba alipowasili Ofisi ya CCM mkoa huo


Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk Edmund Mndolwa, akisalimiana na Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Saad Kusilawe, alipowasili Ofisi ya CCM mkoa huo



Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk Edmund Mndolwa, akisalimiana na Katibu wa Jumuiya hiyo mkoa wa Dar es Salaam Lugano Mwafongo, alipowasili Ofisi ya CCM mkoa huo



Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk Edmund Mndolwa, akisilindikizwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Kate Sylivia Magdalena Kamba kwenda kusaini vitabu wa wageni na kuzungumza na uongozi, alipowasili Ofisi ya CCM mkoa huo



Dk. Mndolwa akisaini kitabu wa wageni katika Ofisi ya Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam alipowasili. Kulia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi mkoa huo, Frank Kalokola Kamngisha



Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania-Zanzibar Abdallah Haj Haidar akisaini kitabu cha wageni, huku Dk. Mndolwa akiendelea kufanya hivyo pia.



Abdallah Haj Haidar akisalimia



Mama Patricia Rukia Mndolwa akisalimia



Katibu wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania-Bara Burhan Rutta akisalimia



Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ndugu Kusilawe akisalimia



Kalokola akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, amkaribishe Dk. Mndolwa kuzungumza na Uongozi



Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Kate Sylivia Magdalena Kamba alizungumza kabla ya kumkaribisha Dk Mndolwa kuzungumza



Kate Kamba akimkaribisha Dk Mndolwa kuzungumza na uongozi



Dk. Mndolwa akizungumza na Uongozi



Mwafongo na Katibu wa CCM Kata ya Ilala Habib Nasser ambaye pia ni Mjumbe wa Baraza Kuu Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, wakitoka nje kumsubiri Dk Mndolwa kutoka nje tayari kwa safari ya kwenye kwenye eneo kuu la mapokezi ukumbi wa CCM Mwinjuma Mwananyamala



Gari lilobeba Dk Mndolwa likiwasili kwenye Viwanja vya Ofisi ya Tawi la CCM Mwinjuma



Kijana wa CCM akimvisha Skafu Dk. Mndolwa baada ya kuwasili CCM Mwinjuma



Dk. Mndolwa akipokea kwa ukakamavu saluti ya kijana wa CCM baada ya kuvishwa skafu



Dk Mndolwa akiongozana na baadhi ya viongozi kwenda eneo la tukio



Dk Mndolwa akisalimia baadhi ya wana CCM wakati akienda ukumbini



Dk Mndolwa akisalimia baadhi ya viongozi wakati akienda ukumbini



TOT wakitumbuiza kumlaki ukumbini Dk. Mndolwa



Dk. Mndolwa akienda meza kuu



Dk. Mndolwa na Makamu wake- zanzibar wakiwa tayari meza kuu



Viongozi wa meza kuu wakiungana na Dk Mndolwa kushangilia baada ya kuwasili eneo hilo



Mmoja wa viongozi katika Baraza la Wazee wa jumuiya ya Wazazi Mzee Mkali akisalimia



Katibu wa Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, Ndugu Mwafongo akifanya utambulisho wa viongozi ndazi ya mkoa



Viongozi ndazi ya mkoa wakisalimia baada ya kutambulishwa



Baadhi ya viongozi waliohudhuria mapokezi hayo wakiwa ukumbini



Naibu Katibu Mkuu wa Jumuia ya wazazi Tanzania Ndugu Rutta akitambulisha viongozi ngazi ya taifa



Katibu Mkuu wa Jumuia ya Wazazi tanzania Seif Shaban Mohammed akifafanua maana na umuhimu wa neno 'Mapinduzi' baada ya kutambulishwa



Ndugu Mwafongo akiendeleza ratiba



Mwenyekiti wa CCM Temeke ndugu Almish akizungumza baada ya kutambulishwa



Ndugu Kalokola akizungumza kumtambulisha Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania-Zanzibar Ndugu Haj



Kakamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania-Zanzibar Ndugu Hajj akizungumza



Shabiki wa CCM akimuombea maisha marefu na uongozi bora Dk. Mndolwa tukio ambalo lilikuwa la ghafla



Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Kate Sylivia Magdalena Kamba akizungumza kabla ya kumkaribisha Dk. Mndolwa kuzungumza na hadhara



Omar Kimbau aliyewahi kuhamia CUF akitangaza kurudi CCM mbele ya Dk. Mndolwa



Dk. Mndolwa akimpongeza Kimbau kwa kuzinduka na kurejea CCM



Dk. Mndolwa akihutubia kweye mapokezi hayo





CHAKULA CHA JIONI SERENA HOTEL



Katibu wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, Ndugu Mwafongo akiwakaribisha Dk. Mndolwa na Mkewe walipowasili hoteli ya Serena kwa ajili ya chakula cha jioni



Mwafongo akiwaongoza kwenda eneo la kuketi



Dk. Mndolwa akimsalimia Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, Ndugu Kalokola



Dk Mndolwa akimsalimia Ndugu Kizigha



Makamu Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania- Zanzibar Ndugu Hajj akimsalimia Mama Mndolwa



Dk Mndolwa akizungumza jambo wakati wakisubiri muda wa chakula



Ndugu Mwafongo akiwa amesimama kuwakaribisha rasmi waalikwa wote

Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Kalokola akizungumza maneno ya ukaribisho kwenye chakula hicho cha jioni

Dk Mndolwa akiongozana na Ndugu Hajj kuchukua chakula

Angela Kizigha akimsaidia Dk. Mndolwa kubeba chakula

Mweneyekiti wa CCM Kinondoni akichukua chakula

Viongozi mbalimbali wakichukua chakula

Ndugu Mwafongo akiongoka na chakula chake kwenda sehemu ya kuketi

Ndugu Hajj akichukua chakula

Baadhi ya waandaaji wa nyama choma hotei ya Serena

Waalikwa wakila chakula

Dk Mndolwa na mkewe wakipata chakula na waalikwa wengine

Dk Mndolwa akitoa nasaha zake baada ya chakula Kisha Dk. Mndolwa akapozi kwa picha ya kumbukumbu na viongozi mbalimbali aliopata nao chakula hicho cha jioni. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment