Tuesday, October 10, 2017

UHURU FM LEO TENA WAMWAGA MSAADA KUPITIA KAMPENI YAO YA 'GUSA MAISHA YAO' KUMUENZI BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE


Meneja Rasilimali watu wa Kampuni ya Peoples Media inayoendesha Kituo cha Radio cha Uhuru FM cha Jijini Dar es Salaam, Paul Mng'ong'o (wanne kushoto), akikabidhi msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vyakula kwa Mwanzilishi wa Kituo cha kujeresha katika maisha ya kawaida waraibu wa dawa za kulevya cha Pili Misana Foundation, Pili Misana, kilichopo Kigamboni, dar es Salaam, leo, ikiwa ni mwendelezo wa Uhuru FM kutoa misaada kupitia kampeni yao ya 'Gusa Maisha yao' kumuenzi Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere. Wengine katika picha ni baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM na Vijana wanaoishi katika kituo hicho.


Aina ya msaada uliotolewa


Dereva akiliungurumisha basi kupitia daraja la Kigamboni kwenda kwenye kituo hicho


Baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa katika basi kwenda kwenye kituo hicho cha kusaidia waraibu wa dawa za kulevya kurejea katika maisha ya kawaida, baada ya kufika wafanyakazi hao wakaanza kushuka na vitu vya msaada, mmoja baada ya mwingine


Cecy Jeremiah







Binti Abbas Mtemvu







Mwandishi wa Uhuru na Mzalendo, Njumai Ngota







Mhasibu Mkuu wa Uhuru FM Alvera Kabwogi







Mhariri Mkuu wa Uhuru FM Pius Ntiga







Mfanyakazi Uhuru FM Godliver Koplo







Meneja rasilimali watu wa Uhuru FM paul Mg'ong'o







Meneja rasilimali watu wa Uhuru FM paul Mg'ong'o







Meneja Masoko wa Uhuru FM Furaha Luhende







Meneja Masoko wa Uhuru FM Furaha Luhende







Mtangazaji Uhuru FM Zuhura Zidadu







Mtangazaji Uhuru FM Zuhura Zidadu







Mtangazaji Uhuru FM Paul Sigori







Meneja Mawasiliano Uhuru FM Arnold Dominic







Mhariri Mkuu wa Uuhuru FM Pius Ntiga akiingia kwenye kituo hicho







Cecy Jeremiah akitafakari jambo baada ya kufika kwenye kituo hicho Kigamboni







Baadhi wakibadilishana mawazo baada ya kufika kwenye kituo hicho Kigamboni







Baadhi wakibadilishana mawazo baada ya kufika kwenye kituo hicho Kigamboni







Mtangazaji said Ambua akibadilishana mawazo na mwanzilishi wa kituo hicho







Ntiga na wenzake wakifuatilia mambo yalivyokuwa yakienda







Luhende akifuatilia live kutoka Uhuru FM kwa makini kuhusu matangazo kutoka kwenye kituo hicho cha Kigamboni.







Sigori na ambua wakiwa tayari kutangaza live tukio hilo la utoaji msaada







Sigori (kushoto) akitangaza live tukio hilo







Mwanzilishi wa kituo hicho akitoa maelezo







Mmoja wa waraibu wa dawa za kulevya akitoa maelezo









Mmoja wa waraibu wa dawa za kulevya akitoa maelezo







Arnold Dominic wa Uhuru FM akitoa maelezo ya msaada







Ambua akitoa maelezo







Mama kabwogi akitoa maelezo ambapo aliwasihi vijana walioacha matumizi ya dawa za kulevya kuwasaidia wenzao nao kuacha







Mg'ong'o akikabidhi msaada huo kwa mwanzilishi wa kituo hicho cha Kigamboni.







Mg'ong'o akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo







Shughuli ikamalizika kwa watumishi wa Uhuru FM na wenyeji wao kupigwa picha hii ya pamoja. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

No comments:

Post a Comment