Wednesday, June 29, 2016

SABABU ZA KUNDI LA MUZIKI LA PAYUS & MECRAS KUTOKA JIJINI MWANZA KUBADILI JINA.

Wakali wa wimbo wa Chausiku, Payus na Mecras kutoka Jijini Mwanza, ambao awali walikuwa wanaunda kundi la Muziki la Payus & Pacras, wamebadili jina la kundi lao na sasa wanaitwa WAPANCRAS.

Sikiliza mahojiano ya wasanii hao ambapo msanii Mecras ameanza kwa kueleza sababu za kubadili jina la kundi lao kutoka Payus & Pacras hadi kuwa Wapancras huku msanii Mecras akiweka bayana chimbuko la jina hilo la Wapancras.

Bonyeza HAPA Kusikiliza au Bonyeza Play Hapo Chini

Msanii Payus
Msanii Mecras
Bonyeza Hapa Kujua Zaidi Au wacheck Wapancras 0742 182 836


No comments:

Post a Comment