Friday, November 06, 2015

HAFLA YA KUSHEREHEKEA KUAPISHWA KWA RAIS WA 5 WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA



Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipongezwa na mmiliki wa blog ya Imma Matukio ambaye pia ni Mhariri Mtendaji wa Gazeti Huru la Kila Siku la Majira, katika hafla iliyofanyika katika viwanja via Ikulu jijini Dar es Salaam jana.



Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi usiku kwa ajili ya mchapalo maalum ulioandaliwa na Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli kusherehekea kupishwa kwake



Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Sheim



Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan kifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Hadija Mwinyi akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Sitti Mwinyi akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Salma Kikwete akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Asha Suleiman Iddi akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli na viongozi wengine wakiwa hema kuu




Mama Janet Magufuli akisalimiana na Mhe Makongoro Nyerere




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mhe Makongoro Nyerere




Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makongoro Nyerere




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akienda kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake




Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Mtera Mteule Mhe Livingstone Lusinde




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake








Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Mama Janet Magufuli akiwa na wageni wao



Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake



Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake








Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na kutaniana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana kutniana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mhe Augostino Lyatonga Mrema wakati akiendelea kusalimiana na wageni wake







Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake. Hapa akiongea na Mbunge wa Morogoro vijijini mteule Mhe Propser Mbena




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake.




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake. Hapa akiteta jambo na kijana George Mathias Mgina




Rais Dkt Magufuli akiteta jambo na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Mizengo Pinda na Mzee Joseph Butiku




Mama Janet Magufuli akiamkia na na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Mizengo pinda wakiwa Rais Dkt Magufuli na Mzee Joseph Butiku




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli na mkewe Mama Janet Magufuli wakiwa na kijana George Mathias Mgina




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Tunu Pinda akiwa na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Mizengo pinda na wanafamilia




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa na wake wa viongozi na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Mizengo Pinda




Mama Janet Magufuli akisalimiana na Mama Hasina Kawawa




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mhe Ole Sendeka




Balozi wa Tanzania nchiniNigeria Mhe Njoolay akiwa na Mhe Chiligati na Mhe Profesa Jumanne Maghembe




Wadau wakifurahia mchapalo




Wadau wakiwa katika mchapalo huo




Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe Saidi Mwambungu na Mbunge Mteule wa Nyasa




Blogger maarufu Haki Ngowi (kushoto) na nduguye ambaye ni mbunifu wa mavazi wa mkimataifa Sheria Ngowi ndani ya nyumnba




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake. Hapa ni rafiki yake na Waziri Mkuu wa Zamani wa Kenya Mhe Raia Odinga na ujumbe wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Salma Kikwete na familia ya Rais Mstaafu




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimianana na Mufti Mkuu wa Tanzania




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipozi na viongozi wa BAKWATA




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimaiana na viongozi wa dini








Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na msanii Mrisho Mpoto



Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake








Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake








Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake



Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake




Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiagana na wageni wake




Yamoto Band ikitumbuiza. Picha zote na IKULU


No comments:

Post a Comment