Saturday, August 29, 2015

KINDONDONI, ILALA MABINGWA UNDER 17 AIRTEL RISING STAR DSM

Nahodha wa timu ya wasichana ya Kinondoni, Sylvia Mwacha (kushoto), akikabidhiwa kombe na Meneja wa Airtel kanda ya Dar es Salaam, Bw. Fredrick Mwakitwange (kulia), baada ya kutwaa ubingwa wa U-17 Airtel Rising Stars mkoa wa Dar es Salaam upande wa wasichana jana.


CHINI: Nahodha wa timu ya Wavulana  ya Ilala, Abdul Hassan (kushoto), akikabidhiwa kombe na Meneja wa Airtel kanda ya Dar es Salaam Bw. Fredrick Mwakitwange (kulia), baada ya kutwaa ubingwa wa U-17 Airtel Rising Stars mkoa wa Da es Salaam upande wa wavualana jana.



No comments:

Post a Comment