
Katika matangazo hayo mawili, STRABAG, imetoa michoro
inayoonesha jinsi njia mbadala zitakavyofanya kazi ili kuhakikisha shughuli na
matumizi ya barabara yanaendelea.
Kwa wale wanaotumia Barabara ya Kawawa kutokea Kinondoni
Morocco kuelekea Magomeni wametakiwa kufuata maelekezo kama mchoro
unavyoonesha.
STRABAG pamoja na wadau wenging wa pia wametoa marekebisho
ya matumizi ya makutano ya barabara ya Morogoro na Kawawa na kwamba matengenezo
katika kipande hicho yataanza tarehe 10 na kukamilika 25 Oktoba, 2014
No comments:
Post a Comment