Wednesday, May 07, 2014

WAZEE WA MTWARA NA LINDI WALIOKWENDA THAILAND KUJIFUNZA KUHUSU GESI WAMERUDI

Wazee wa Mikoa ya Kusini ya Mtwara na Lindi wakiambatana na viongozi wa mbalimbali wa dini kutoka katika maeneo hayo wakiwa katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius K. Nyerere (JKNI) leo baada ya kuwasili nchini kwa shirika la ndege la Qatar, wakitokea nchini Thailand kujifunza shughuli mbalimbali za nishati ya gesi.



No comments:

Post a Comment