KUKATIKA DARAJA: MAGARI YARUDI MOROGORO NA KUBADILI NJIA
Magari yaliyokuwa yanasafiri kwenda kanda ya ziwa yaliyokwama kupita kutokana na mafuriko yarudi Morogoro na kuzunguka Wilaya ya Kilosa, Mkata na Dumila.
Picha kulia ni abiria wakipata chakula kabla ya kuanza safari .
No comments:
Post a Comment