Friday, January 31, 2014

HII KIBOKO: TANZANIA PIA KUNA BARAFU (SNOW) ANGALIA PICHA HIZI

 Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Mkoa wa Kigoma akiwa amepozi kwenye barafu kufuatia mvua za mawe zilizokuwa zinaendeleawilayani humo hivi karibuni kama anavyoonekana.

Chini: ni eneo lililodondokewa na barafu wilayani humo



No comments:

Post a Comment