KUTOKWENDA HOSPITALI KUMUONA MZEE MANDELA
Rais Obama akipokewa katika uwanja wa ndege wa Waterkloof, nchini Afrika Kusini mapema leo
PRETORIA | Sat
Jun 29, 2013 4:07am EDT
Rais Onama
wa Marekani akiambatana na mkewe, Michelle Obama watakutana leo na ndugu wa Nelson
Mandela. Kama ilivyotarajiwa Rais Obama hatokwenda hospitali alikolazwa Bw.
Mandela kama ilivyoelezwa mwanzo
Taarifa kutoka
Ikulu ya White House ya Marekani, zimedai kuwa Bw. Obama hatokwenda hospitali
hapo ambapo amelazwa akiwa mahututi kwa wiki ya tatu sasa.
Obama yuko
Afrika Kusini ikiwa ni nchi ya pili Afrika kabla hajaja Tanzania siku ya
jumatatu. Ziara yake iliamsha hisia kwamba Rais Obama angemtembelea Bw Mandela
ambaye afya yake ni mbaya sana akiwa amelazwa akisumbuliwa na mapafu.
No comments:
Post a Comment