Friday, March 29, 2013

HALI ILIVYO BAADA YA JENGO LA GOROFA 16 KUANGUKA NA KUUWA WATU


Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam alifika katika eneo hilo huku akiongoza kikosi cha waokoaji

Haya ni baadhi ya majengo ambayo yamezunguka eneo ya jengo lililodondoka

Baadhi ya watu waliokuwa wanatoa huduma ya uokoaji wakimsaidia mtu mmoja aliyeokolewa katika jengo hilo 

Kamanda mkuu wa kanda maalum  Dar es Salaam Suleimani Kova naye alifika eneo la tukio

Hali ndiyo ilivyo wengine wakishangaa na hayo ni mabaki ya jengo hilo

Hii ni moja ya gari ambalo limeokolewa likiwa tayari limeshaharibika 




Gari ambalo limefunikwa na kifusi hicho



Baadhi ya watu wakiwa wanashangaa kifusi hicho






1 comment: