Friday, January 04, 2013

WAOMBOLEZAJI

Mke wa marehemu Sajuki aliyejifunika nguo nyeupe akizungukwa na baadhi ya ndugu wakimfariji kutokana na kufiwa na mumewe, Sajuki anatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam



No comments:

Post a Comment